Vertel uw vrienden over dit artikel:
Ukweli Ni Kitu Gani?
Pd Sebastian Mpango Nzabhayanga
Ukweli Ni Kitu Gani?
Pd Sebastian Mpango Nzabhayanga
Kitabu hiki, "Ukweli ni Kitu Gani," kinatondoa [fafanua kwa umakini] dhana Ukweli, kwa mifano tosha kumsaidia msomaji kuelewa anachosoma. Nimefafanua shida zinazotokea katika kufikiri na kuongeza hata kuleta mizozo na mitafaruku katika jamii. Sehemu ya Hairakia ya Ukweli imeeleza vema mlinganisho wa vipengee vya ukweli kwa namna ambayo sidhani kama umepata kuiona kwa Kiswahili. Nimeandika pia kitabu kingine kwa mtindo kama huu, na wasomaji wamekipenda. Naamini nawe utakipenda kitabu hiki na kitakuwa cha manufaa. Waweza kunipa maoni yako kupitia: sebba-mn@live.com
Media | Boeken Paperback Book (Boek met zachte kaft en gelijmde rug) |
Vrijgegeven | 9 augustus 2018 |
ISBN13 | 9781724920461 |
Uitgevers | Createspace Independent Publishing Platf |
Pagina's | 200 |
Afmetingen | 140 × 216 × 11 mm · 235 g |
Taal en grammatica | Swahili |
Bekijk alles van Pd Sebastian Mpango Nzabhayanga ( bijv. Paperback Book )